SBS Swahili Mubashara 31 Mei 2022

Chumba cha matangazo ya redio

Chumba cha matangazo ya redio Source: Getty images

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.


Katika makala ya leo kuna:

  • Taarifa mpya za habari za Australia.

  • Taarifa mpya za habari kutoka Afrika Mashariki na Kati mubashara, kutoka studio zetu za Nairobi, Kenya.

  • Mahojiano na Bw Luundo Rajabu kuhusu sababu yakufungua shule, inayo funza ujuzi wa mbinu zakuokoa maisha na mapokezi ya jamii kwa mafunzo hayo.

  • Mahojiano na Bw Lazaro kuhusu huduma ambazo shirika la ECCQ hutoa kwa jamii, na mbinu wanazo tumia kuhamasisha jamii kufanya vipimo vya afya.

  • Mahojiano na wajasiriamali kwenye tamasha yawa Afrika jimboni Queensland, pamoja na mapokezi kwa bidhaa zao katika jamii.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
SBS Swahili Mubashara 31 Mei 2022 | SBS Swahili