SBS Swahili Mubashara 5 Julai 2022

Chumba cha matangazo ya redio

Chumba cha matangazo ya redio Source: Getty images

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.


Katika makala ya leo kuna:

  • Taarifa mpya za habari za Australia, na kutoka Afrika Mashariki na Kati.

  • Makala kuhusu Wiki ya NAIDOC na taratibu zinazo husika katika sherehe zaukribisho katika nchi.

  • Makala kuhusu matukio ya Wiki Yawakimbizi nchini Australia.

  • Mahojiano na viongozi wa jamii za wa Tanzania na DR Congo wanao ishi jimboni Queensland, kuhusu ukaribisho wa DR Congo katika jumuiya ya Afrika Mashariki, na maana ya hatua hiyo kwa raia wa nchi wanachama wa Jumuiya hiyo.

  • Mahojiano na Bw Eshima, kuhusu uamuzi wake wakuacha kazi zakuajiriwa naku fungua biashara yake binafsi jimboni Queensland.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service