SBS Swahili Mubashara 7 Juni 2022

Chumba cha matangazo ya redio.

Chumba cha matangazo ya redio Source: Getty images

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.


Katika makala ya leo kuna:

  • Taarifa mpya za habari za Australia.

  • Makala kuhusu nyongeza kwa mshahara wa wafanyakazi wa umma nchini Australia.

  • Mahojiano na Dr Sababu Kaitila kiongozi wa jamii yawa Tanzania wanao ishi Brisbane, pamoja na Bw Mike Fidel, kiongozi wa jamii yawatu kutoka DR Congo wanao ishi Brisbane. Wawili hao walizungumza kuhusu maswala ya uongozi, pamoja nakutoa mapendekezo yakutatua sababu zautata zinazo tumiwa kuwanyima baadhi ya wanachama wajamii zao kazi jimboni Queensland.

  • Mahojiano na msanii Luundo Radjabu kuhusu, maandalizi ya uzinduzi wa album yake kwa jina la; "Ni wakati".

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service