Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Aliyesoma na Bilionea afunguka

Ali Mufuruki

Ali Mufuruki (1959 ) alikuwa ni mfanyabiashara wa Tanzania, mtunzi, mwanzilishi na mwanachama wa bodi za mashirika mbalimbali. Alikuwa ni mwanzilishi wa kampuni ya uwekezaji Infotech, mkurugenzi mtendaji wa muungano wa Wakurugenzi Tanzania na Africa Leadership Initiative (ALI) Africa Mashariki, mwenyekiti wa bodi ya kampuni ya simu Tanzania Vodacom Tanzania na Wananchi Group Holdings, mdhamini wa Taasisi ya Mandela ya tafiti za maendeleo (MINDS) na Mtunzi Msaidizi wa kitabu cha Tanzania's Industrialization Journey, 2016–2056. Alifariki tarehe 7 Disemba 2019 Jumamosi katika hospitali ya Morningside mjini Johannesburg, Afrika Kusini. SBS Swahili iliongea na mmoja wa waliyesoma naye na alikuwa na haya ya kusema.


Published

By Frank Mtao

Presented by Frank Mtao

Source: SBS



Share this with family and friends


Ali Mufuruki (1959 ) alikuwa ni mfanyabiashara wa Tanzania, mtunzi, mwanzilishi na mwanachama wa bodi za mashirika mbalimbali. Alikuwa ni mwanzilishi wa kampuni ya uwekezaji Infotech, mkurugenzi mtendaji wa muungano wa Wakurugenzi Tanzania na Africa Leadership Initiative (ALI) Africa Mashariki, mwenyekiti wa bodi ya kampuni ya simu Tanzania Vodacom Tanzania na Wananchi Group Holdings, mdhamini wa Taasisi ya Mandela ya tafiti za maendeleo (MINDS) na Mtunzi Msaidizi wa kitabu cha Tanzania's Industrialization Journey, 2016–2056. Alifariki tarehe 7 Disemba 2019 Jumamosi katika hospitali ya Morningside mjini Johannesburg, Afrika Kusini. SBS Swahili iliongea na mmoja wa waliyesoma naye na alikuwa na haya ya kusema.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now