Aliyesoma na Bilionea afunguka

Ali Mufuruki

Source: The East African

Ali Mufuruki (1959 ) alikuwa ni mfanyabiashara wa Tanzania, mtunzi, mwanzilishi na mwanachama wa bodi za mashirika mbalimbali. Alikuwa ni mwanzilishi wa kampuni ya uwekezaji Infotech, mkurugenzi mtendaji wa muungano wa Wakurugenzi Tanzania na Africa Leadership Initiative (ALI) Africa Mashariki, mwenyekiti wa bodi ya kampuni ya simu Tanzania Vodacom Tanzania na Wananchi Group Holdings, mdhamini wa Taasisi ya Mandela ya tafiti za maendeleo (MINDS) na Mtunzi Msaidizi wa kitabu cha Tanzania's Industrialization Journey, 2016–2056. Alifariki tarehe 7 Disemba 2019 Jumamosi katika hospitali ya Morningside mjini Johannesburg, Afrika Kusini. SBS Swahili iliongea na mmoja wa waliyesoma naye na alikuwa na haya ya kusema.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Aliyesoma na Bilionea afunguka | SBS Swahili