Scott Morrison adokeza kuanzishwa kwa tumeyakifalme kwa moto wa vichaka na mageuzi ya sera ya mazingira

Waziri Mkuu Scott Morrison azungumza na waandishi wa habari mjini Canberra Source: AAP
Baada yaku kabiliwa kwa wiki kadhaa za ukosoaji kuhusu jinsi alivyo shughulikia dharura ya moto wa vichaka, waziri mkuu Scott Morrison ametangaza kuwa atachukua pendekezo lakuanzisha tume yakifalme yauchunguzi kwa moto huo wa vichaka katika kikao cha baraza la mawaziri.
Share