Mwezi ujao katika uchaguzi mkuu wa NSW, inakadiriwa kuwa takriban nusumilioni yawatu wanatarajiwa kukwepa foleni katika vituo vyakupiga kura, na badala yake watapigia kura mtandaoni.
Ila wataalam wa usalama wa mtandaoni wame zua wasi wasi kuhusu, usalama wa mfumo wakupigia kura mtandaoni.
Katika taarifa iliyo tolewa kwa shirika la habari la SBS, tume ya uchaguzi ya NSW ilisema, wana imani katika usalama wa mfumo wa iVote.
Share






