Wasiwasi waibuka kuhusu mfumo wakupiga kura mtandaoni NSW

Watu wapiga kura katika mbinu yakitamaduni

Watu wapiga kura katika mbinu yakitamaduni Source: AAP

Mwezi ujao katika uchaguzi mkuu wa NSW, inakadiriwa kuwa takriban nusumilioni yawatu wanatarajiwa kukwepa foleni katika vituo vyakupiga kura, na badala yake watapigia kura mtandaoni.


Ila wataalam wa usalama wa mtandaoni wame zua wasi wasi kuhusu, usalama wa mfumo wakupigia kura mtandaoni.

Katika taarifa iliyo tolewa kwa shirika la habari la SBS, tume ya uchaguzi ya NSW ilisema, wana imani katika usalama wa mfumo wa iVote.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service