Takwimu zilizo chapishwa, zimedokeza kuwa watu wanao jizingatia kuwa “hawana dini”, wanaweza kuwa kundi la watu wengi katika miaka ijayo, nakuwapiku wakristo.
Sensa ya 2021 yathibitisha ongezeko la watu wanao acha dini Australia

Pambo la sanaa ndani ya kanisa la Mtakatifu Paulo, Melbourne, mfano wa juhudi la kanisa kuwavutia watu wengi zaidi Source: SBS
Data ya sensa iliyo chapishwa wiki hii, ime thibitisha kuwa Australia ina shuhudia ongezeko kubwa la maendeleo ya watu wanao acha dini.
Share