Sensa ya 2021 yathibitisha ongezeko la watu wanao acha dini Australia

Pambo la sanaa ndani ya kanisa la Mtakatifu Paulo, Melbourne, mfano wa juhudi la kanisa kuwavutia watu wengi zaidi

Pambo la sanaa ndani ya kanisa la Mtakatifu Paulo, Melbourne, mfano wa juhudi la kanisa kuwavutia watu wengi zaidi Source: SBS

Data ya sensa iliyo chapishwa wiki hii, ime thibitisha kuwa Australia ina shuhudia ongezeko kubwa la maendeleo ya watu wanao acha dini.


Takwimu zilizo chapishwa, zimedokeza kuwa watu wanao jizingatia kuwa “hawana dini”, wanaweza kuwa kundi la watu wengi katika miaka ijayo, nakuwapiku wakristo.

Katika dini zenye wafuasi wachache nchini, dini laki Hindu lime shuhudia ukuaji mkubwa ambao ume chochewa na uhamiaji. Kupanga kwa mabadiliko ya idadi ya watu wetu.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Sensa ya 2021 yathibitisha ongezeko la watu wanao acha dini Australia | SBS Swahili