Sera ya KRA yazua utata ndani na nje ya nchi

Bango la tangazo la KRA kwa wasafiri wanao wasili nchini Kenya.jpg

Shirika la Kenya Revenue Authority (KRA), lime tawala gumzo miongoni mwa wakenya kote duniani baada yakutangazia umma mchakato mpya wa utoaji wa ushuru nchini humo.


Moja ya tangazo lililo zua hisia mseto zaidi, ni tangazo la wasafiri wenye vitu vyenye thamani zaidi ya $500 za Marekani, wata tozwa ushuru.

Bw Ekesa ni raia wa Kenya anaye ishi nchini Australia, katika mazungumzo maalum na SBS Swahili aliweka wazi hisia zake kuhusu sera hiyo ya ushuru na athari zake haswa kwa wanadiaspora na familia zao.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service