Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Sera ya KRA yazua utata ndani na nje ya nchi

Bango la tangazo la KRA kwa wasafiri wanao wasili nchini Kenya.jpg

Shirika la Kenya Revenue Authority (KRA), lime tawala gumzo miongoni mwa wakenya kote duniani baada yakutangazia umma mchakato mpya wa utoaji wa ushuru nchini humo.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Shirika la Kenya Revenue Authority (KRA), lime tawala gumzo miongoni mwa wakenya kote duniani baada yakutangazia umma mchakato mpya wa utoaji wa ushuru nchini humo.


Moja ya tangazo lililo zua hisia mseto zaidi, ni tangazo la wasafiri wenye vitu vyenye thamani zaidi ya $500 za Marekani, wata tozwa ushuru.

Bw Ekesa ni raia wa Kenya anaye ishi nchini Australia, katika mazungumzo maalum na SBS Swahili aliweka wazi hisia zake kuhusu sera hiyo ya ushuru na athari zake haswa kwa wanadiaspora na familia zao.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now