Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Serikali ya NSW yakabiliwa kwa matokeo mabaya katika chaguzi ndongo nne

Kiongozi wa NSW Dominic Perrottet, azungumza na waandishi wa habari akiwa na mgombea wa Liberal Tim James, nje ya kituo chakupigia kura

Kiongozi wa NSW Dominic Perrottet, azungumza na waandishi wa habari akiwa na mgombea wa Liberal Tim James, nje ya kituo chakupigia kura. Source: AAP

Serikali ya New South Wales inaelekea kupoteza eneo bunge la Bega pamoja nakutumbukia ndani zaidi ya shimo la serikali ya wachache, baada yakupata matokeo mabaya katika chaguzi dogo nne.


Published

Updated

By Essam Al-Ghalib

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Serikali ya New South Wales inaelekea kupoteza eneo bunge la Bega pamoja nakutumbukia ndani zaidi ya shimo la serikali ya wachache, baada yakupata matokeo mabaya katika chaguzi dogo nne.


Chama cha Labor kina elekea kupata ushindi wakihistoria katika eneo bunge la Bega jimboni NSW, wakati chama tawala cha Liberals kimepata matokeo mabaya sana dhidi yacho katika eneo bunge la kiongozi wa jimbo wa zamani Gladys Berejiklian la Willoughby.

Hesabu zinaendelea katika chaguzi za super Saturday jimboni NSW.

Ushindi wa chama cha Labor utakuwa wa kwanza katika eneo bunge la Bega, ambalo limekuwa chini ya uongozi wa chama cha Liberals tamngu eneo bunge hilo lilipo undwa 1988 na eneo bunge hilo lime ongozwa tangu mwaka wa 2003 na mbunge wake anaye staafu Andrew Constance.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now