Serikali ya NSW yakabiliwa kwa matokeo mabaya katika chaguzi ndongo nne

Kiongozi wa NSW Dominic Perrottet, azungumza na waandishi wa habari akiwa na mgombea wa Liberal Tim James, nje ya kituo chakupigia kura

Kiongozi wa NSW Dominic Perrottet, azungumza na waandishi wa habari akiwa na mgombea wa Liberal Tim James, nje ya kituo chakupigia kura. Source: AAP

Serikali ya New South Wales inaelekea kupoteza eneo bunge la Bega pamoja nakutumbukia ndani zaidi ya shimo la serikali ya wachache, baada yakupata matokeo mabaya katika chaguzi dogo nne.


Chama cha Labor kina elekea kupata ushindi wakihistoria katika eneo bunge la Bega jimboni NSW, wakati chama tawala cha Liberals kimepata matokeo mabaya sana dhidi yacho katika eneo bunge la kiongozi wa jimbo wa zamani Gladys Berejiklian la Willoughby.

Hesabu zinaendelea katika chaguzi za super Saturday jimboni NSW.

Ushindi wa chama cha Labor utakuwa wa kwanza katika eneo bunge la Bega, ambalo limekuwa chini ya uongozi wa chama cha Liberals tamngu eneo bunge hilo lilipo undwa 1988 na eneo bunge hilo lime ongozwa tangu mwaka wa 2003 na mbunge wake anaye staafu Andrew Constance.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Serikali ya NSW yakabiliwa kwa matokeo mabaya katika chaguzi ndongo nne | SBS Swahili