Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Mwongozo wa Makazi: Mwathiriwa wakiharusi anahitaji msaada wa haraka

Picha ya ubongo

Picha ya ubongo Source: Public Domain

Mmoja kati yawa Australia wasita atakabiliwa na kiharusi katika maisha yake, hiyo ni kwa mujibu wa shirika la Stroke Foundation.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS




Share this with family and friends


Mmoja kati yawa Australia wasita atakabiliwa na kiharusi katika maisha yake, hiyo ni kwa mujibu wa shirika la Stroke Foundation.


Ni muhimu sana kupata msaada haraka, iwapo mwathirika atakuwa na fursa yakupona anapo kabiliwa na ugonjwa huo. Wagonjwa kutoka jumuiya zawa hamiaji wanaweza kabiliwa na changamoto za ziada, kupata msaada unao stahili.

Tarehe 12 hadi 18 ya Septemba, hutamulika kama: National Stroke Week ama wiki yakiharusi nchini. Watu wana hamasishwa kufikiria kwa kasi naku chukua hatua kwa haraka unapo ona mtu ana dalili za kiharusi.

 

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now