Ni muhimu sana kupata msaada haraka, iwapo mwathirika atakuwa na fursa yakupona anapo kabiliwa na ugonjwa huo. Wagonjwa kutoka jumuiya zawa hamiaji wanaweza kabiliwa na changamoto za ziada, kupata msaada unao stahili.
Tarehe 12 hadi 18 ya Septemba, hutamulika kama: National Stroke Week ama wiki yakiharusi nchini. Watu wana hamasishwa kufikiria kwa kasi naku chukua hatua kwa haraka unapo ona mtu ana dalili za kiharusi.
