Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mwongozo wa makazi: Wazazi wanaweza fanya nini kuhusu unyanyasaji?

Unyanyasaji shuleni

Mwanafunzi anyanyaswa shuleni Source: Getty Images

Imekadiriwa kuwa mtoto mmoja kati ya watoto wanne nchini Australia, huathiriwa kwa vitendo vya unyanyasaji shuleni.


Published

By Audrey Bourget

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Imekadiriwa kuwa mtoto mmoja kati ya watoto wanne nchini Australia, huathiriwa kwa vitendo vya unyanyasaji shuleni.


Kwa mzazi, inaweza kuwa vigumu kujua chakufanya, mtoto wako akiwa mwathirika wa matendo ya unyanyasaji, au kama wao ndiwo wanafanya matendo hayo ya unyanyasaji.

Wataalam wamefanyia swala hili utafiti mpana, kujua chenye wazazi wanaweza fanya, kuwasaidia watoto wao kumaliza visa vya unyanyasaji. Hakikisha shule husika inajua kinacho endelea, na shirikiana nao. Kama mtoto wako amenyanyaswa au amenyanyasa, inaweza kuwa vizuri akizungumza na mshauri au shirika la Kids Helpline.

Kama mzazi, unaweza pata taarifa ya ziada kuhusu unyanyasaji kupitia mashirika ya Kids Helpline na Parentline, ambayo yanaweza toa huduma ya wakalimani.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now