Chakula chaki Pakistani cha Eid Source: SuppliedWaislamu kote duniani wame sherehekea mwisho wa mwezi Mtukufu wa Ramadan, kwa chakula, sala na kujumuika na familia baada ya mwezi mzima wakufunga.
Published
Updated
By Dijana Damjanovic, Stephanie Corsetti
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Skip to podcast episode content
Share this with family and friends
Waislamu kote duniani wame sherehekea mwisho wa mwezi Mtukufu wa Ramadan, kwa chakula, sala na kujumuika na familia baada ya mwezi mzima wakufunga.
Ila katika sehemu za dunia, sherehe hizo hazikuwa za msisimuko mkubwa.
Nchini Afghanistan, raia walishiriki katika sherehe za Eid, chini ya uongozi wa Taliban baada ya miaka 20.