Waislamu kote duniani wame sherehekea mwisho wa mwezi Mtukufu wa Ramadan, kwa chakula, sala na kujumuika na familia baada ya mwezi mzima wakufunga.
Ila katika sehemu za dunia, sherehe hizo hazikuwa za msisimuko mkubwa.
Nchini Afghanistan, raia walishiriki katika sherehe za Eid, chini ya uongozi wa Taliban baada ya miaka 20.
Share






