Mwandishi wa SBS Swahili Frank Mtao, alifuatilia mjadala huo kwa makini, nakutufanyia uchanganuzi wa maswala muhimu yaliyo jadiliwa.
Shorten aonja ushindi wa kwanza, katika mjadala wa kwanza wa viongozi

Waandishi wa habari, wafuatilia mjadala wa kwanza wa viongozi mjini Perth, kati ya Scott Morrison na Bill Shorten Source: AAP
Waziri Mkuu Scott Morrison na Kiongozi wa Upinzani Bill Shorten, wame tofautiana kuhusu maswala tofauti katika mjadala wa kwanza wa viongozi, wa 2019 katika kampeni ya uchaguzi ya shirikisho.
Share