Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amesema anaendelea kuwa na matumaini kwamba Australia ita ridhia mkataba tata wa ushirikiano wa utatu wa pacific.
Kiongozi wa upinzani Bill Shorten na chama cha Greens wame ihamasisha serikali iachane na mkataba huo, wakisema wata uzuia ndani ya bunge.
Hata hivyo Bw Turnbull amehamasisha mataifa ambayo yako katika ukanda wa Pacific, kuridhia mkataba huo pamoja nakumshinikiza rais mteule wa marekani Donald Trump ambaye pia anapinga mkataba huo.
Share
