Ime ripotiwa kuwa shirika la ujasusi la Australia limegundua njama ya serikali ya China, kuwekezea kampeni za wagombea wa chama cha Labor katika uchaguzi wa shirikisho ujao.
Siku mbaya yamaliza wiki yamichubuko katika bunge la shirikisho

Kiongozi wa Upinzani Anthony Albanese (kushoto) amsikiza Waziri Mkuu Scott Morrison bungeni. Source: AAP
Dai lisilo la kawaida kuhusu jaribio laushawishi lakigeni, kwa uchaguzi wa shirikisho ujao lime fichuliwa.
Share