Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Siku mbaya yamaliza wiki yamichubuko katika bunge la shirikisho

Kiongozi wa Upinzani Anthony Albanese (kushoto) amsikiza Waziri Mkuu Scott Morrison bungeni

Kiongozi wa Upinzani Anthony Albanese (kushoto) amsikiza Waziri Mkuu Scott Morrison bungeni. Source: AAP

Dai lisilo la kawaida kuhusu jaribio laushawishi lakigeni, kwa uchaguzi wa shirikisho ujao lime fichuliwa.


Published

By Anna Henderson

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Dai lisilo la kawaida kuhusu jaribio laushawishi lakigeni, kwa uchaguzi wa shirikisho ujao lime fichuliwa.


Ime ripotiwa kuwa shirika la ujasusi la Australia limegundua njama ya serikali ya China, kuwekezea kampeni za wagombea wa chama cha Labor katika uchaguzi wa shirikisho ujao.

Shirika la ujasusi la ASIO limesema uchaguzi hauja ingiliwa na kiongozi wa chama cha Labor Anthony Albanese, amesema kiongozi wa shirika la ASIO Mike Burgess ame mhakikishia kuwa hakuna wagombea ambao wamehujumiwa.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now