Waziri Mkuu na kiongozi wa upinzani wata fanya mjadala wa kwanza katika kampeni ya uchaguzi mjini Perth wiki ijayo, ambako chama chochote kinaweza shinda takriban maeneo bunge sita.
Ushindani huo huenda hauta amua tu uchaguzi mkuu ila, hatma ya siku za usoni za viongozi wakisiasa chipukizi kutoka pande zote za siasa nchini Australia.
Share






