Socceroos waaga kombe la dunia kibabe

Qatar: FIFA World Cup 2022 - argentina vs australia

Lionel Messi wa Argentina akabwa na wachezaji wa Australia. Credit: Fotoarena/Sipa USA

Matumaini ya mashabiki wa timu ya taifa ya Australia inayo julikana kwa jina la "Socceroos" kucheza katika robo fainali, yame gonga mlinda lango wa Argentina Emiliano Martinez.


Wachambuzi wengi wa kandanda hawaku ijumuisha Australia, katika orodha ya timu wanazo tarajia kufanya vizuri katika kombe la dunia.

Hata hivyo, Socceroos waliwashangaza wengi kwa kufuzu kutoka kundi lao nyuma ya bingwa watetezi Ufaransa.

Wali ingia katika mechi yao dhidi ya Argentina wakiwa na matumaini yakufuzu kwa robo fainali, ila licha ya juhudi waliyo weka katika mechi hiyo Argentina ikiongozwa na Lionel Messi walishinda mechi hiyo kwa magoli mawili kwa moja.

Bonyeza hapo juu kwa makala kamili, kuhusu yaliyo tokea katika raundi ya 16 ya kombe la dunia la FIFA 2022 nchini Qatar.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service