Baada yakupewa funzo la soka katika mechi yao ya kwanza dhidi ya bingwa watetezi Ufaransa, wachezaji wa Australia walijua umuhimu wakupata matokeo chancha katika mechi yao dhidi ya Tunisia.

epa10329552 Mitchell Duke of Australia celebrates after scoring the opening goal during the FIFA World Cup 2022 group D soccer match between Tunisia and Australia at Al Janoub Stadium in Al Wakrah, Qatar, 26 November 2022. EPA/Abir Sultan Source: EPA / Abir Sultan/EPA
Ushindi huo unamaana Australia kwa sasa ni timu ya pili ikiwa na alama 3 nyuma ya vinara wa kundi D Ufaransa ambao wana alama 6, wakifuatwa na Denmark na Tunisia ambao wana alama 1.
