Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Sofia na Anna:"tunashiriki katika mashindano ya soka kuboresha afya yetu"

Nahodha wa timu yawanawake ya DR Congo Sophia (kushoto) na msaidizi wake Anna (kulia).JPG

Wanawake na wasichana wanao ishi mjini Sydney, kwa muda mrefu walikuwa wakiomba kujumuishwa katika michuano ya kombe la Afrika.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wanawake na wasichana wanao ishi mjini Sydney, kwa muda mrefu walikuwa wakiomba kujumuishwa katika michuano ya kombe la Afrika.


Hatime ombi lao lilisikizwa na waandalizi wa michuano hiyo, ambao baada yaku wajumuisha wanawake michuano yao sasa ime ingia katika mwaka wa pili.

Timu ya wanawake kutoka jumuiya ya DR Congo, ni miongoni mwa timu za kwanza zilizo sajiliwa kushiriki katika michuano hiyo.

Nahodha wa timu hiyo Sofia pamoja na msaidizi wake Anna, walieleza SBS Swahili kilicho washawishi kushiriki katika timu na michuano hiyo, pamoja na mabadiliko ambayo wame ona katika maisha yao ya kila siku kiafya na kimwili tangu walipo jiunga na timu yao.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now