Sofia na Anna:"tunashiriki katika mashindano ya soka kuboresha afya yetu"

Nahodha wa timu yawanawake ya DR Congo Sophia (kushoto) na msaidizi wake Anna (kulia).JPG

Wanawake na wasichana wanao ishi mjini Sydney, kwa muda mrefu walikuwa wakiomba kujumuishwa katika michuano ya kombe la Afrika.


Hatime ombi lao lilisikizwa na waandalizi wa michuano hiyo, ambao baada yaku wajumuisha wanawake michuano yao sasa ime ingia katika mwaka wa pili.

Timu ya wanawake kutoka jumuiya ya DR Congo, ni miongoni mwa timu za kwanza zilizo sajiliwa kushiriki katika michuano hiyo.

Nahodha wa timu hiyo Sofia pamoja na msaidizi wake Anna, walieleza SBS Swahili kilicho washawishi kushiriki katika timu na michuano hiyo, pamoja na mabadiliko ambayo wame ona katika maisha yao ya kila siku kiafya na kimwili tangu walipo jiunga na timu yao.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Sofia na Anna:"tunashiriki katika mashindano ya soka kuboresha afya yetu" | SBS Swahili