Somalia yapita mtihani wao dhidi ya Jordan

Mwalimu wa Somalia (kulia) Bw Agey pamoja na msaidizi wake baada ya mechi yao ya kwanza

Timu 32 zinashiriki katika michuano ya kombe la dunia, inayo andaliwa na shirika la African Australia Football Association mjini Sydney, NSW.


Vijana kutoka jumuiya yawa Somali wanao ishi mjini Sydney, NSW wali peperusha bendera ya Somalia kwa fahari katika mechi yao dhidi ya Jordan.

Mwalimu wa timu ya Somalia Bw Agey, ali eleza SBS Swahili kuhusu wachezaji wake pamoja na malengo yake kwa michuano hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service