Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Somalia yapita mtihani wao dhidi ya Jordan

Mwalimu wa Somalia (kulia) Bw Agey pamoja na msaidizi wake baada ya mechi yao ya kwanza

Timu 32 zinashiriki katika michuano ya kombe la dunia, inayo andaliwa na shirika la African Australia Football Association mjini Sydney, NSW.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Timu 32 zinashiriki katika michuano ya kombe la dunia, inayo andaliwa na shirika la African Australia Football Association mjini Sydney, NSW.


Vijana kutoka jumuiya yawa Somali wanao ishi mjini Sydney, NSW wali peperusha bendera ya Somalia kwa fahari katika mechi yao dhidi ya Jordan.

Mwalimu wa timu ya Somalia Bw Agey, ali eleza SBS Swahili kuhusu wachezaji wake pamoja na malengo yake kwa michuano hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now