Timu ya soka ya Uhispania Sevilla FC itawasili nchini Tanzania leo

Silva

Andre Silva (C) celebrates a goal for Sevilla Source: AAP

Kwa mujibu wa msemaji wa Shirikisho la Soka la Tanzania Cliford Mario Ndimbo, wachezaji hao wanatarajiwa kuwasili jioni ya leo katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mjini Dar es Salaam. Ndimbo alisema, timu hiyo ya La Liga ambayo ni maarufu duniani inadhaminiwa na SportsPesa, na licha ya kuwa na mechi ya kirafiki dhidi ya Simba SC pia ziara yao itahusisha matukio kadhaa ya kijamii na ya michezo ikiwa ni pamoja na uendeshaji wa kliniki na mafunzo.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service