Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Timu ya soka ya Uhispania Sevilla FC itawasili nchini Tanzania leo

Silva

Andre Silva (C) celebrates a goal for Sevilla Source: AAP

Kwa mujibu wa msemaji wa Shirikisho la Soka la Tanzania Cliford Mario Ndimbo, wachezaji hao wanatarajiwa kuwasili jioni ya leo katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mjini Dar es Salaam. Ndimbo alisema, timu hiyo ya La Liga ambayo ni maarufu duniani inadhaminiwa na SportsPesa, na licha ya kuwa na mechi ya kirafiki dhidi ya Simba SC pia ziara yao itahusisha matukio kadhaa ya kijamii na ya michezo ikiwa ni pamoja na uendeshaji wa kliniki na mafunzo.


Published

Updated

By Frank Mtao

Presented by Frank Mtao

Source: SBS



Share this with family and friends


Kwa mujibu wa msemaji wa Shirikisho la Soka la Tanzania Cliford Mario Ndimbo, wachezaji hao wanatarajiwa kuwasili jioni ya leo katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mjini Dar es Salaam. Ndimbo alisema, timu hiyo ya La Liga ambayo ni maarufu duniani inadhaminiwa na SportsPesa, na licha ya kuwa na mechi ya kirafiki dhidi ya Simba SC pia ziara yao itahusisha matukio kadhaa ya kijamii na ya michezo ikiwa ni pamoja na uendeshaji wa kliniki na mafunzo.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now