Umuhimu wakusambaza ujumbe wa matumaini wakati wa Pasaka

Waziri Mkuu Scott Morrison na familia yake wahudhuria ibada ya Pasaka

Waziri Mkuu Scott Morrison na familia yake wahudhuria ibada ya Pasaka Source: AAP

Wakristo kote nchini Australia wamejumuika makanisani kuadhimisha pasaka.


Jumapili ya pasaka huwakilisha siku ambayo wakristo wana amini Yesu kristo alifufuka kutoka wafu, baada yakusulubiwa siku ya ijumaa.

Waumini katika kanisa la Sing Hozana Outreach, walieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS, umuhimu wa Pasaka kwao, pamoja na umuhimu wakusambaza ujumbe wa matumaini katika jamii na dunia.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service