Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Umuhimu wakusambaza ujumbe wa matumaini wakati wa Pasaka

Waziri Mkuu Scott Morrison na familia yake wahudhuria ibada ya Pasaka

Waziri Mkuu Scott Morrison na familia yake wahudhuria ibada ya Pasaka Source: AAP

Wakristo kote nchini Australia wamejumuika makanisani kuadhimisha pasaka.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wakristo kote nchini Australia wamejumuika makanisani kuadhimisha pasaka.


Jumapili ya pasaka huwakilisha siku ambayo wakristo wana amini Yesu kristo alifufuka kutoka wafu, baada yakusulubiwa siku ya ijumaa.

Waumini katika kanisa la Sing Hozana Outreach, walieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS, umuhimu wa Pasaka kwao, pamoja na umuhimu wakusambaza ujumbe wa matumaini katika jamii na dunia.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now