Steve Sitienei "Serikali mpya ya Labor itakuwa yawatu wapato la chini si matajiri"

A third of Australian businesses experiencing challenges with finding staff

Source: AAP

Ushindi wa chama cha Labor katika uchaguzi mkuu wa Australia, umewapa viongozi wajamii matumaini kuwa maisha ya wanachama wa jumuiya yao yatakuwa bora kuliko chini ya serikali ya zamani ya mseto.


Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilizungumza na Rais wa Shirika la Kitwek la Magharibi Australia, Bw Steve Sitienei na aliweka wazi tofauti ya kampeni na ushawishi wa chama cha Labor na wapinzani wao wa chama cha mseto wa Liberal/Nationals katika jimbo la Magharibi Australia.

Bw Sitienei alitueleza pia matumaini ya jamii ya Magharibi Australia kwa serikali mpya ya chama cha Labor inayo unda serikali mpya, haswa wanachama wajamii ambao wanatafuta kazi.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service