Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Sudan Kusini yapiga hatua ya kwanza kutetea kombe lao

Mchezaji wa Sudan Kusini asherehekea goli lake

Timu 32 zinashiriki katika michuano ya kombe la dunia, inayo andaliwa na shirika la African Australia Football Association mjini Sydney, NSW.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Timu 32 zinashiriki katika michuano ya kombe la dunia, inayo andaliwa na shirika la African Australia Football Association mjini Sydney, NSW.


Kwa mara nyingine vijana wa Sudan Kusini, wame ingia katika michuano hiyo wakiwa bingwa watetezi na kila timu ikiwa na lengo ya kuwavua ubingwa wao.

Nahodha wa timu hiyo Bw Athiei ali eleza SBS Swahili, hisia zake baada ya kushinda mechi yao ya kwanza pamoja na malengo ya timu yake.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now