Sudan Kusini yapiga hatua ya kwanza kutetea kombe lao

Mchezaji wa Sudan Kusini asherehekea goli lake

Timu 32 zinashiriki katika michuano ya kombe la dunia, inayo andaliwa na shirika la African Australia Football Association mjini Sydney, NSW.


Kwa mara nyingine vijana wa Sudan Kusini, wame ingia katika michuano hiyo wakiwa bingwa watetezi na kila timu ikiwa na lengo ya kuwavua ubingwa wao.

Nahodha wa timu hiyo Bw Athiei ali eleza SBS Swahili, hisia zake baada ya kushinda mechi yao ya kwanza pamoja na malengo ya timu yake.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service