Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Rais wa Sudan aondolewa madarakani nakufungwa

Wasudani washerehekea kuondolewa madarakani kwa rais Omar al-Bashir

Wasudani washerehekea kuondolewa madarakani kwa rais Omar al-Bashir Source: EPA

Utawala wa Omar al-Bashir, kama rais wa saba wa Sudan uli malizika wiki hii.


Jeshi lime mfunga mwanaume aliye tawala Sudan tangu 1989, baada ya maandamano ya raia dhidi yake.

Ila kitakacho fuata kwa Sudan kina zua wasi wasi kwa watu wa Sudan, sawa na uongozi ambao ume ondolewa mamlakani.

Serikali ya Uingereza nayo pia, imetoa wito pawe mageuzi ya haraka ili utawala wa raia uanze.

Ila, hatakama hali hiyo ita endelea kuchunguzwa kwa karibu, kile ambacho watu wa sudan wanataka, nakile ambacho watapata, inawezekana kuwa vitu viwili tofauti.

Hali hiyo ina maana kwamba, matatizo ya nchi hiyo ambayo imekumbwa kwa matatizo kwa muda mrefu, huenda mwisho wake ungali mbali.

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now