Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya habari 10 Novemba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Kuna uwezekano chanjo ya coronavirus inaweza anza kutolewa, kwa watu ambao wako katika hatari zaidi kuanzia machi 2021.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kuna uwezekano chanjo ya coronavirus inaweza anza kutolewa, kwa watu ambao wako katika hatari zaidi kuanzia machi 2021.


Serikali ya shirikisho imetangaza kuwa mafao ya jobseeker ya coronavirus, yataendelea kutolewa hadi mwisho wa Machi 2021 kwa kiwango cha chini.

Hisia mbali mbali zinendelea kutolewa Kenya, kufuatia madai kwamba ulaghai ulifanyika kwa ripoti ya maridhiano inayofahamika kama BBI, kwa kuingiza sehemu nyingine ambazo hazikuafikiwa na jopo maalum lililoandika ripoti hiyo.

Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema, ambaye alishindwa katika uchaguzi wa mwezi uliopita baada ya kuhudumu kwa mihula miwili bungeni amekamatwa na anazuiliwa katika kaunti ya Kajiado nchini Kenya baada yake na familia kutoroka Tanzania na kuingia Kenya.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now