Taarifa ya habari 10 Novemba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Kuna uwezekano chanjo ya coronavirus inaweza anza kutolewa, kwa watu ambao wako katika hatari zaidi kuanzia machi 2021.


Serikali ya shirikisho imetangaza kuwa mafao ya jobseeker ya coronavirus, yataendelea kutolewa hadi mwisho wa Machi 2021 kwa kiwango cha chini.

Hisia mbali mbali zinendelea kutolewa Kenya, kufuatia madai kwamba ulaghai ulifanyika kwa ripoti ya maridhiano inayofahamika kama BBI, kwa kuingiza sehemu nyingine ambazo hazikuafikiwa na jopo maalum lililoandika ripoti hiyo.

Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema, ambaye alishindwa katika uchaguzi wa mwezi uliopita baada ya kuhudumu kwa mihula miwili bungeni amekamatwa na anazuiliwa katika kaunti ya Kajiado nchini Kenya baada yake na familia kutoroka Tanzania na kuingia Kenya.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service