Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari 11 Oktoba 2022

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Wanafunzi wamatibabu na madaktari waungana na serikali ya shirikisho mjini Canberra, kutafuta suluhu kwa uhaba wama GP nchini.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wanafunzi wamatibabu na madaktari waungana na serikali ya shirikisho mjini Canberra, kutafuta suluhu kwa uhaba wama GP nchini.


Kiongozi wa Upinzani wa Victoria Matthew Guy amesema matokeo ya kura za maoni za chama chake yanaonesha chama cha mseto kinaweza wania uongozi katika uchaguzi mkuu ujao wa Victoria, licha ya tafiti kudokeza ushindi mwingine wa chama cha Labor.

Wakaaji katika maeneo yanayo athiriwa na mafuriko jimboni NSW, wana hamasishwa waendelea kuwa waangalifu dhoruba nyingine ikitarajiwa kugonga sehemu za jimbo hilo wiki hii. Amri kadhaa zakuondoka zilitolewa jana katika kanda nzima ya Hawkesbury, na sehemu za kati magharibi na kanda ya Riverina ya jimbo hilo.

Wizara ya afya ya Malawi inasema hivi karibuni itatoa chanjo ya kwanza ya malaria barani Afrika kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano. Chanjo ya RTS,S, ambayo ilijaribiwa nchini Ghana, Kenya, na Malawi, ilichukua zaidi ya miaka 30 kutengenezwa. Utoaji wa chanjo, uliopangwa kufanyika mwezi ujao, unafuatia kukamilika kwa awamu ya majaribio. Tangu mwaka 2019, Shirika la Afya Ulimwenguni limechanja watoto 360,000 kwa mwaka nchini Malawi, Ghana na Kenya, na theluthi moja yao nchini Malawi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now