Taarifa ya Habari 14 Agosti 2022

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Kaimu waziri mkuu Richard Marles amesisitiza kuwa bado kuna uwezekano wakuboresha mahusiano na China, licha ya ongezeko ya mivutano katika kanda hilo kwa sababu ya Taiwan.


Mamepa hii leo watu waliondolewa katika uwanja wa ndege wa Canberra, baada ya ripoti za milio ya risasi kusikika katika sehemu ambako abiria hupumzika wakisubiri kuabiri ndege. ACT Police imesema mwanaume mmoja alikamatwa katika sehemu la tukio na bunduki kuchukuliwa, na mtu ambaye amekamatwa ina aminiwa kuwa ndiye mtu pekee anaye wajibika kwa tukio hilo.


Meli ya kwanza ya nafaka inayoelekea barani Afrika kutoka nchini Ukraine tangu uvamizi wa Russia mwezi Februari mwaka huu ilitia nanga katika bandari ya Pivdennyi, jana Ijumaa, waziri wa miundombinu wa Ukraine alisema.

Wakenya wanaendelea kusubiri matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais kutoka kwa tume ya uchaguzi na mipaka ya nchi hiyo, IEBC, siku tano baada ya kushiriki zoezi la kumchagua rais, magavana, wabunge na wawakilishi wengine. Hii ni kufuatia uchaguzi uliofanyika Jumanne wiki hii katika taifa hilo la Afrika Mashariki.Hii ni kufuatia uchaguzi uliofanyika Jumanne wiki hii katika taifa hilo la Afrika Mashariki.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service