Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya habari 14 Juni 2020

Bango la taarifa za habari za dunia la SBS

Bango la taarifa za habari za dunia la SBS Source: SBS

Serikali yashirikisho yatupilia mbali madai, inataka regeza masharti ya karantini kwa baadhi ya wasafiri nchini.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Serikali yashirikisho yatupilia mbali madai, inataka regeza masharti ya karantini kwa baadhi ya wasafiri nchini.


Polisi walishambuliwa kwa chupa wakati wa makabiliano kati yao na mamia ya waandamanaji mjini London, ambao walipuuza agizo la kutoshiriki maandamano.

Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema waliojifunza kutokana na milipuko ya awali ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo ni tiba muwafaka ziliruhusu kupata udhibiti wa haraka wa ugonjwa huu ambao unasababisha vifo katika jimbo la Equateur.

Changamoto ya kupata taarifa nchini Burundi baada ya kifo cha ghafla cha Rais Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 8, kinaendelea kudidimiza mazingira ya vyombo vya habari baada ya kukandamizwa kwa miaka kadhaa.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now