Taarifa ya habari 14 Juni 2020

Bango la taarifa za habari za dunia la SBS

Bango la taarifa za habari za dunia la SBS Source: SBS

Serikali yashirikisho yatupilia mbali madai, inataka regeza masharti ya karantini kwa baadhi ya wasafiri nchini.


Polisi walishambuliwa kwa chupa wakati wa makabiliano kati yao na mamia ya waandamanaji mjini London, ambao walipuuza agizo la kutoshiriki maandamano.

Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema waliojifunza kutokana na milipuko ya awali ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo ni tiba muwafaka ziliruhusu kupata udhibiti wa haraka wa ugonjwa huu ambao unasababisha vifo katika jimbo la Equateur.

Changamoto ya kupata taarifa nchini Burundi baada ya kifo cha ghafla cha Rais Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 8, kinaendelea kudidimiza mazingira ya vyombo vya habari baada ya kukandamizwa kwa miaka kadhaa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service