Taarifa ya habari 15 Novemba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Serikali ya Victoria yatengeza historia kupitia uwekezaji mkubwa katika nyumba za jamii.


Wanajeshi katika jimbo la kaskazini mwa Ethiopia la Tigray wamefyatua maroketi katika jimbo jirani, katika mzozo wao na serikali ya Ethiopia unaoendelea kupanuka.

Tume ya uchaguzi nchini Uganda imepiga marufuku mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu mwaka ujao 2021. Marufuku hiyo imetolewa siku moja baada ya rais Yoweri Museveni kusema kwamba wagombea wenzake wanakusanya watu licha ya kuwepo janga la virusi vya Corona, watachukuliwa hatua haki.

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema serikali itakuwa na jukumu kuu kuanzia mikakati ya kuwakinga raia wake dhidi ya janga la virusi vya corona, kuwekeza kwa vijana na kutatua tatizo sugu la umiliki wa ardhi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya habari 15 Novemba 2020 | SBS Swahili