Taarifa ya habari 16 Juni 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS

Bango la taarifa ya habari la SBS Source: SBS

Serikali ya shirikisho yakiri baadhi ya wafanyakzi wanao pokea ruzuku ya malipo, watatumbukia katika ukosefu wa ajira mfumo wa JobKeeper utakapo isha.


 

Jeshi la Korea Kaskazini limeonya kwamba liko tayari kuingia katika eneo lisiloruhusiwa shughuli za kijeshi linalogawanya nchi hiyo na Korea Kusini.

Baada ya kifo cha rais wa Burundi hayati Pierre Nkurunziza mapema wiki hii, Mahakama ya Katiba imechukua imeagiza kutawazwa kwa rais mteuli Jenerali Evariste Ndayishimiye.

Wafanyakazi wanne wa Ikulu ya rais nchini Kenya wamepatikana na virus vya corona. Kwa mujibu wa msemaji wa Ikulu Kanze Dena, wafanyakazi hao waligunduliwa wameambukizwa COVID-19 baada ya kufanyiwa uchunguzi Alhamisi, Juni 11.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya habari 16 Juni 2020 | SBS Swahili