Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya habari 16 Juni 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS

Bango la taarifa ya habari la SBS Source: SBS

Serikali ya shirikisho yakiri baadhi ya wafanyakzi wanao pokea ruzuku ya malipo, watatumbukia katika ukosefu wa ajira mfumo wa JobKeeper utakapo isha.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Serikali ya shirikisho yakiri baadhi ya wafanyakzi wanao pokea ruzuku ya malipo, watatumbukia katika ukosefu wa ajira mfumo wa JobKeeper utakapo isha.


 

Jeshi la Korea Kaskazini limeonya kwamba liko tayari kuingia katika eneo lisiloruhusiwa shughuli za kijeshi linalogawanya nchi hiyo na Korea Kusini.

Baada ya kifo cha rais wa Burundi hayati Pierre Nkurunziza mapema wiki hii, Mahakama ya Katiba imechukua imeagiza kutawazwa kwa rais mteuli Jenerali Evariste Ndayishimiye.

Wafanyakazi wanne wa Ikulu ya rais nchini Kenya wamepatikana na virus vya corona. Kwa mujibu wa msemaji wa Ikulu Kanze Dena, wafanyakazi hao waligunduliwa wameambukizwa COVID-19 baada ya kufanyiwa uchunguzi Alhamisi, Juni 11.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now