Taarifa ya Habari 16 Mei 2023

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Waziri Mkuu ametupilia mbali madai kuwa sera yamakazi ya serikali, ita andikwa tena katika kongamano lakitaifa la chama cha Labor.


Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amesema pendekezo laku ongeza masaa ya kazi kwa wanao pokea malipo ya JobSeeker, itawaruhusu walipwe zaidi wakati inapunguza shinikizo kwa bajeti. Chama cha mseto kimeomba nyongeza ya kati ya masaa 5 hadi 10, kwa masaa ambayo watu wanao lipwa JobSeeker wanaweza fanya kazi kabla malipo yao ya athiriwe.

Biashara mbili za vyakula jimboni Victoria, zina kabiliwa kwa mamia yamashtaka kwa tuhumza zakuvunja sheria zakuajiri watoto. Red Rooster ambayo iko Wodonga imefunguliwa mashtaka ya uhalifu 355, wakati kampuni ya Cold Rock inayo uza ice cream Shepparton, inakabiliwa kwa mashtaka ya uhalifu 124.

Kenya na Somalia Jumatatu zimekubaliana kufungua tena vituo vitatu vya mpaka kati ya nchi hizo mbili baada ya kufungwa kwa miaka 12 kutokana na ukosefu wa usalama na vitisho vinavyohusiana na ugaidi.

Baadhi ya maduka katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam, nchini Tanzania huenda yakaendelea kufungwa kufuatia mgomo wa wafanyabiashara wanaopinga rushwa na malimbikizo ya kodi wanayotozwa na Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania (TRA).

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya Habari 16 Mei 2023 | SBS Swahili