Taarifa ya habari 17 Januari 2021

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Maafisa jimboni New South Wales wame toa onyo kadhaa, kuhusu hatari za usambaaji wa coronavirus ndani ya nyumba.


Majimbo yote 50 ya Marekani yamewekwa katika hali ya tahadhari kutokana na uwezekano wa maandamno ya ghasia wikendi hii , kabla ya kuapishwa kwa rais mteule Joe Biden siku ya Jumatano. Vikosi vya ulinzi wa kitaifa vimetumwa kwa wingi katika mji wa Wshington DC ili kuzuia kuzuka kwa ghasia mbaya za wiki iliopita.

Tume ya Uchaguzi nchini Uganda, ilitangaza Jumamosi kwamba Rais Yoweri Museveni ameshinda kura ya urais baada ya kupata kura 5,851,037 dhidi ya mpinzani wake wa karibu, Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, aliyezoa kura 3,475,298. Kyagulanyi amepinga matokeo hayo.

Afrika Kusini Ijumaa imechelewesha kuanza kwa mwaka mpya wa masomo kwa kipindi cha wiki 2 hadi Februari 15, ili kuzizuia shule zisiwe vituo vya maambukizi ya covid 19. Wakati huohuo kumeripotiwa kesi mpya za maambukizi 20,000 kwa siku wiki iliyopita.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service