Taarifa ya Habari 17 Octoba 21

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Kiongozi Chama cha Labor, Jodi McKay ajiuzulu Wakati toka huko Africa Mashariki tunaarifiwa, mitazamo yaibuka kuhusiana na kufungwa Lengai Ole Sabaya.


Australia yapata matibabu ya ziada ya COVID-19 huku eneo la Tasmania likitangaza kutokuwa na maambuzi ingawaje amri ya kufungiwa ikiendelea.

Na katika Habari za Kimataifa, Polisi nchini Uingereza yadai tukio la kuuawa Mbunge Sir David Amess ni la Kigaidi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service