Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari 17 Octoba 21

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Kiongozi Chama cha Labor, Jodi McKay ajiuzulu Wakati toka huko Africa Mashariki tunaarifiwa, mitazamo yaibuka kuhusiana na kufungwa Lengai Ole Sabaya.


Published

By Frank Mtao

Source: SBS



Share this with family and friends


Kiongozi Chama cha Labor, Jodi McKay ajiuzulu Wakati toka huko Africa Mashariki tunaarifiwa, mitazamo yaibuka kuhusiana na kufungwa Lengai Ole Sabaya.


Australia yapata matibabu ya ziada ya COVID-19 huku eneo la Tasmania likitangaza kutokuwa na maambuzi ingawaje amri ya kufungiwa ikiendelea.

Na katika Habari za Kimataifa, Polisi nchini Uingereza yadai tukio la kuuawa Mbunge Sir David Amess ni la Kigaidi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now