Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari 18 Disemba 2022

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Moto wa vichaka waendelea kutisha maisha na mali zawakaaji katika maeneo kadhaa ya Magharibi Australia, mamlaka wakiendeleza juhudi zaku udhibiti.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Moto wa vichaka waendelea kutisha maisha na mali zawakaaji katika maeneo kadhaa ya Magharibi Australia, mamlaka wakiendeleza juhudi zaku udhibiti.


Jeshi la polisi la Victoria lasema lakaribia kuwakamata mashabiki walio shambulia uwanja nakumjeruhi mchezaji katika debi ya Melbourne.

Mkutano wa Viongozi wa Marekani na Afrika wamalizika pande zote zikiridhia malengo yaliyofikiwa, na Bunge la Msumbiji laidhinisha mswaada wa kuhalalisha wanamgambo kushiriki katika vita jimbo la Cabo Delgado

Nchini Uganda, Rais Museveni aondoa vizuizi vyote vya Ebola, akisema kuwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki imepiga hatua katika kukabiliana na ugonjwa huo hatari. Museveni amefuta vizuizi vyote vilivyowekwa katika wilaya ya Mubende, ambayo ndio ilikuwa kitovu cha ugonjwa huo, kulikoshuhudiwa visa 66 vya maambukizi na vifo 29, na katika eneo la Kassanda lililokuwa na visa 49 na vifo 21.

Viwanjanni mbichi na mbivu kubainika katika fainali ya kombe la dunia kati ya France na Argentina, Croatia yaibuka mshinid wa mechi yakuwania mshindi wa tatu dhidi ya Morocco.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now