Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari 2 Agosti 2022

Serikali ya shirikisho ya sherehekea kupitishwa kwa muswada wake wa kwanza bungeni.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Serikali ya shirikisho ya sherehekea kupitishwa kwa muswada wake wa kwanza bungeni.


Kiongozi wa zamani wa Kusini Australia ataka elimu ya mapema kupewa kipaumbele kwenye kongamano la ajira itakayo fanyika mjini Canberra wiki hii.

Rais Joe Biden atangaza kuwa, hatimae haki imetendwa baada ya Marekani kumuuwa kiongozi wa kundi la wagaidi la Al Qaeda, Ayman al- Zawahiri.

Kundi la M23 lashtumiwa kuwalenga waandishi wa Habari Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambao wamelazimika kujificha kutokana na vitisho dhidi ya maisha yao.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now