Taarifa ya Habari 2 Agosti 2022

Serikali ya shirikisho ya sherehekea kupitishwa kwa muswada wake wa kwanza bungeni.


Kiongozi wa zamani wa Kusini Australia ataka elimu ya mapema kupewa kipaumbele kwenye kongamano la ajira itakayo fanyika mjini Canberra wiki hii.

Rais Joe Biden atangaza kuwa, hatimae haki imetendwa baada ya Marekani kumuuwa kiongozi wa kundi la wagaidi la Al Qaeda, Ayman al- Zawahiri.

Kundi la M23 lashtumiwa kuwalenga waandishi wa Habari Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambao wamelazimika kujificha kutokana na vitisho dhidi ya maisha yao.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service