Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari 2 Julai 2023

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Waziri Mkuu Anthony Albanese asema, ziada ya bajeti kuweka Australia katika nafasi imara kiuchumi.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Waziri Mkuu Anthony Albanese asema, ziada ya bajeti kuweka Australia katika nafasi imara kiuchumi.


Kwa mara ya kwanza watu wenye viza ya muda wanao kimbia unyanyasaji wa nyumbani, watapata kiwango sawia cha msaada kutoka serikali ya shirikisho sawia na raia wa Australia. Mwanamke mmoja kati ya wanawake sita nchini, hupitia unyanyasaji wa nyumbani, wakati katika wahamiaji na wakimbizi ni mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu.

Kikosi cha Umoja wa Afrika katika taifa la Somalia lililokumbwa na migogoro kimesema kimekamilisha awamu ya kwanza ya kupunguza wanajeshi kwa lengo la kuweka suala la usalama mikononi mwa jeshi la taifa na polisi.

Mkosoaji mkubwa wa serikali ya Rwanda Paul Rusesabagina, ambaye alifahamika kimataifa kwa juhudi zake za kuwaokoa watu wakati wa mauaji ya kimbari ya 1994, amesema kuwa Wanyarwanda ni wafungwa ndani ya nchi yao.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now