Taarifa ya habari 20 Oktoba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Serikali ya shirikisho yahamasisha serikali zamajimbo namikoa, ziwekeze zaidi katika miradi ya makazi ya jamii.


Viongozi wa Uingereza na Umoja wa Ulaya wamesema mlango bado uko wazi kwa makubaliano ya uhusiano wao, wa baada ya Uingereza kujiondoa kutoka Umoja huo kufikiwa.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo Bernard Membe amesisitiza yeye bado ni Mgombea wa nafasi hiyo kupitia chama hicho.

Kampeni za uchaguzi mkuu Marekani zimepamba moto ikiwa zimebaki takriban wiki mbili, kabla ya watu kwenda kupiga kura 3 Novemba, huku Rais Donald Trump na mpinzani wake Joe Biden wakitembelea majimbo yenye ushindani mkali katika siku za mwisho za kampeni.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service