Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya habari 20 Septemba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Kupungua kwa ukosefu wa ajira kwa mpa moyo waziri mkuu, na polisi wajieleza baada yakumpiga risasi mwanaume mmoja Queensland.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kupungua kwa ukosefu wa ajira kwa mpa moyo waziri mkuu, na polisi wajieleza baada yakumpiga risasi mwanaume mmoja Queensland.


Polisi nchini Uganda wanachunguza chanzo cha moto uliokiteketeza chuo kikuu maarufu, kikubwa na cha zamani zaidi nchini humo cha Makerere, kilichopo katikati mwa mji mkuu Kampala.

Mwendesha mashtaka mkuu wa Kenya, Noordin Haji, ameamuru kufanywa kwa uchunguzi wa dola milioni 71 kutokana na kile anachosema ni "ununuzi usiokuwa wa kawaida" uliofanywa na Mamlaka ya Usambazaji wa Vifaa vya Tiba, KEMSA, unaohusishwa na janga la virusi vya corona.

Serikali ya Burundi imeihakikishia Jumuiya ya Afrika mashariki kuwa nchi yao iko salama na inawakaribisha wawekezaji katika sekta mbalimbali kwenda kufanya biashara na nchi hiyo ambayo imekuwa katika machafuko ya kisiasa na kikabila kwa zaidi ya muongo mmoja.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now