Taarifa ya habari 20 Septemba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Kupungua kwa ukosefu wa ajira kwa mpa moyo waziri mkuu, na polisi wajieleza baada yakumpiga risasi mwanaume mmoja Queensland.


Polisi nchini Uganda wanachunguza chanzo cha moto uliokiteketeza chuo kikuu maarufu, kikubwa na cha zamani zaidi nchini humo cha Makerere, kilichopo katikati mwa mji mkuu Kampala.

Mwendesha mashtaka mkuu wa Kenya, Noordin Haji, ameamuru kufanywa kwa uchunguzi wa dola milioni 71 kutokana na kile anachosema ni "ununuzi usiokuwa wa kawaida" uliofanywa na Mamlaka ya Usambazaji wa Vifaa vya Tiba, KEMSA, unaohusishwa na janga la virusi vya corona.

Serikali ya Burundi imeihakikishia Jumuiya ya Afrika mashariki kuwa nchi yao iko salama na inawakaribisha wawekezaji katika sekta mbalimbali kwenda kufanya biashara na nchi hiyo ambayo imekuwa katika machafuko ya kisiasa na kikabila kwa zaidi ya muongo mmoja.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya habari 20 Septemba 2020 | SBS Swahili