Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari 21 Agosti 2022

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Baadhi ya mashirika yanayo toa huduma za ajira nchini Australia kwa walemavu kufungwa.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Baadhi ya mashirika yanayo toa huduma za ajira nchini Australia kwa walemavu kufungwa.


Serikali ya Victoria imetupilia mbali mpango wa chama cha upinzani waku wahamisha wagonjwa katika vifaa vya karantini vya Melbourne ambavyo vinakaribia kuwa vitupu.

Madaktari wa viungo wa Australia wametoa onyo la aharaka kwa mamilioni ya waajiriwa, ambao bado wanafanyia kazi nyumbani wakati ripoti mpya imeonesha ongezeko la majeraha ya shingo na mgongo.

Tume ya Umoja wa Mataifa ya ulinzi wa amani nchini DRC imeondoka katika moja ya miji mikubwa mashariki mwa nchi baada ya maandamano mabaya dhidi ya kushindwa kwake kuwalinda raia, maafisa wa Congo na umoja wa mataifa wamesema. Mamia ya wanajeshi na maafisa wa kiraia wameondoka mjini Butembo na majadiliano yamepangwa namna ya kuondoa vifaa vyao , gavana wa jimbo la kivu kaskazini Generali Constan Ndima amewaambia waandishi wa habari.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now