Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari 23 Aprili 2023

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Waziri wa Fedha Katy Gallagher amesema swala la nyumba za bei nafuu kwa wanawake katika umri wa miaka 55 na juu, litashughulikiwa katika bajeti ya shirikisho ijayo


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Waziri wa Fedha Katy Gallagher amesema swala la nyumba za bei nafuu kwa wanawake katika umri wa miaka 55 na juu, litashughulikiwa katika bajeti ya shirikisho ijayo


Uchunguzi wa bunge wazingatia kuongeza idadi ya wabunge ndani ya Nyumba ya Wawakilishi, katika juhudi yakupata uwakilishi wa ziada wa ongezeko la watu nchini Australia. Matokeo ya uchunguzi huo yanaweza sababisha ongezeko la wabunge kutoka 151 hadi 234, kulingana na mageuzi ya kabla.

Jamii zawaislamu nchini Australia zime endelea kuadhimisha mwisho wa Ramadan wikendi hii kupitia sherehe zakitamaduni.

Kiongozi wa Sudan ambaye pia ni mkuu wa jeshi, Abdel Fattah al-Burhan, ameridhia kuhamishwa raia na wawakilishi wa kidiplomasia kutoka katika nchi hiyo iliyomo kwenye mzozo. Mapigano ya Sudan yameingia wiki ya pili.

Polisi nchini Kenya walisema Ijumaa kwamba wamefukua miili ya watu watatu, inayodhaniwa kuwa ya wafuasi wa dhehebu la kidini wanaoaminika walijiua kwa njaa, mashariki mwa nchi hiyo wakati wakati polisi imepanua uchunguzi wake.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now