Taarifa ya Habari 23 Oktoba 2022

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Waziri Mkuu amesema bajeti ya shirikisho itakayo tolewa Jumanne, itakuwa na hatua za usimamizi wa dharura pamoja na maandalizi ya maafa wakati dharura ya mafuriko inaendelea katika sehemu kubwa ya pwani ya mashariki ya taifa kwa wiki ya pili.


Wataalam wa uokoaji wa kasi majini wametumwa katika maeneo ambayo yanatishiwa kwa mafuriko katika kanda ya kaskazini New South Wales, na wakaaji wa mji wa Echuca ambao uko kaskazini Victoria, washauriwa kuondoka nyumbani kwao mara moja.

Kenya na Marekani zinataka mzozo wa Ethiopia kutatuliwa haraka iwezekanavyo, nchini Uganda, watu 65 wameambukizwa Ebola wakati, watu 27 wamefariki. Na Umoja wa Mataifa umeonya kwamba hali ya ukame ni mbaya sana Somalia.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya Habari 23 Oktoba 2022 | SBS Swahili