Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari 23 Oktoba 2022

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Waziri Mkuu amesema bajeti ya shirikisho itakayo tolewa Jumanne, itakuwa na hatua za usimamizi wa dharura pamoja na maandalizi ya maafa wakati dharura ya mafuriko inaendelea katika sehemu kubwa ya pwani ya mashariki ya taifa kwa wiki ya pili.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Waziri Mkuu amesema bajeti ya shirikisho itakayo tolewa Jumanne, itakuwa na hatua za usimamizi wa dharura pamoja na maandalizi ya maafa wakati dharura ya mafuriko inaendelea katika sehemu kubwa ya pwani ya mashariki ya taifa kwa wiki ya pili.


Wataalam wa uokoaji wa kasi majini wametumwa katika maeneo ambayo yanatishiwa kwa mafuriko katika kanda ya kaskazini New South Wales, na wakaaji wa mji wa Echuca ambao uko kaskazini Victoria, washauriwa kuondoka nyumbani kwao mara moja.

Kenya na Marekani zinataka mzozo wa Ethiopia kutatuliwa haraka iwezekanavyo, nchini Uganda, watu 65 wameambukizwa Ebola wakati, watu 27 wamefariki. Na Umoja wa Mataifa umeonya kwamba hali ya ukame ni mbaya sana Somalia.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now