Taarifa ya Habari 25 Mei 2021

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Juhudi zaendelea kuwatafuta wahanga wa mlipuko wa volcano ya mlima Nyiragongo, wakati wahanga wanasubiri kupokea misaada yakibinadam.


Vizuizi vya COVID-19 vime anza kutekelezwa katika maeneo ya jiji la Melbourne, kesi zingine tano zikiwa zimeungwa na mlipuko katika eneo la kaskazini la mji huo.

Idadi hiyo imefikisha idadi ya watu wenye virusi hivyo kufika watu tisa. Baadhi ya vizuizi hivyo vinajumuisha amri yakuvaa barakoa watu wakiwa ndani yamajengo, pamoja na vikomo kwa idadi yamikusanyiko ya umma. Kesi nne zilitangazwa mchama wa leo jumanne, zimeungwa na kesi iliyo fichuliwa asubuhi ya leo inayo husu mwanaume mwenye umri wa miaka 60, ambaye mamlaka wa afya wameunga kwa mlipuko wa familia moja katika eneo la Whittlesea.

Tukisalia jimboni Victoria, shirika la Kidsafe Victoria limezindua kampeni mpya ya uelewa baada ya idadi yawatoto 32, inayo husu mtoto mmoja kila siku 11 kufariki kupitia majeraha yanayo weza zuiliwa katika jimbo hilo mwaka jana. Takwimu kutoka kitengo cha uchunguzi cha majera cha Victoria, zimeonesha kuwa idadi ya watoto elfu 13,843 wenye umri kati ya miaka 0-14 wali lazwa katika hospitali za Victoria, kwa sababu yamajeraha yasiyo yakukusudiwa katika mwaka wa 2020.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service