Taarifa ya Habari 27 Novemba 2022

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Chama cha Labor cha sherehekea ushindi wa tatu katika uchaguzi wa Victoria, hali ambayo ime mfanya kiongozi wa upinzani wa mseto kujiuzulu baada yakushindwa mara mbili mfululizo.


Hatimae muswada wa mawasiliano ya viwanda wa serikali ya shirikisho kupitishwa bungeni, baada yakuungwa mkono na mmoja wama seneta huru.

Kundi la waasi wa M23 Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo Ijumaa limesema linataka kufanya mazungumzo na Serikali baada ya rais wa Congo na viongozi wengine wa Afrika kutia saini makubaliano ya kusitisha mapino na kuweka silaha chini yenye lengo ya kusitisha mashambulizi ya wanamgambo.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amerefusha muda wa karantini kwa siku 21 zaidi katika wilaya mbili ambazo ni kitovu cha mlipuko wa ugonjwa wa Ebola. Rais Museveni amesema hatua za serikali ya Uganda za kupambana na ugonjwa huo zimepata mafanikio. Vikwazo vya kuingia na kutoka katika wilaya za Mubende na Kassanda zilizoko katikati mwa Uganda vitawekwa hadi kufikia Desemba 17.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya Habari 27 Novemba 2022 | SBS Swahili