Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya habari 27 Oktoba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Waziri mkuu Scott Morrison amesema waaustralia wanao pokea mafao yakutokuwa na ajira, wanaweza tarajia msaada wa coronavirus kuendelea hadi baada ya mwisho wa mwaka.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Waziri mkuu Scott Morrison amesema waaustralia wanao pokea mafao yakutokuwa na ajira, wanaweza tarajia msaada wa coronavirus kuendelea hadi baada ya mwisho wa mwaka.


China imetangaza leo kuziwekea vikwazo kampuni za silaha za Marekani baada ya Washington kuidhinisha mauzo ya silaha yenye thamani ya dola bilioni 1 kwa Taiwan.

Rasimu ya kurekebisha katiba ya Kenya yazinduliwa, rasimu hiyo inapendekeza kubuniwa nafasi ya rais, makam wa rais, waziri mkuu na manaibu wake wawili watakaoteuliwa na rais, pamoja na kiongozi wa upinzani.

Zoezi la upigaji kura ya mapema huko Zanzibar limeanza saa moja asubuhi. Kwa hii leo wanaopiga kura ni wa chache kwa sababu ya utaratibu uliopangwa. Kura hii ya mapema ni ya kwanza kabisa kufanyika huko visiwani Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now