Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya habari 27 Septemba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Wakazi wa Melburne wata amka kesho asubuhi jumatatu, nakupata baadhi ya vizuizi vya COVID-19 vimeregezwa kabla ya ratiba.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wakazi wa Melburne wata amka kesho asubuhi jumatatu, nakupata baadhi ya vizuizi vya COVID-19 vimeregezwa kabla ya ratiba.


Serikali ya Marekani ina mipango ya kuwadhibiti wanafunzi kutoka nchi za Afrika Mashariki na kwingineko duniani, kwendelea na masomo kwenye vyuo vikuu nchini humo, kwa kuweka masharti mapya ya viza, ambayo yatadhibiti ukazi wao.

Mgombea urais nchini Tanzania Tundu Lissu wa chama cha Chadema, amesema endapo atachaguliwa kuwa rais kutakuwa na "uhuru kamili" wa vyombo vya habari bila kusimamiwa au kuingiliwa na serikali.

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ametoa onyo kali kwa waziri wake wa ulinzi Nosiviwe Mapisa - Nqakula na kusimamisha mshahara wake kwa miezi mitatu kwa kupeleka ujumbe nchini Zimbabwe kwa ndege ya jeshi la anga. Haya ni kwa mujibu wa ofisi ya rais.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now