Taarifa ya Habari 29 Novemba 2022

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Serikali ya shirikisho inaendelea kukabiliwa kwa shinikizo, kuweka kikomo kwa bei ya jumla ya gesi, wakati gharama za nishati zinaendelea kuongezeka pamoja na mgogoro kwa gharama ya maisha.


Chama cha Greens kimeomba kusitishwa mara moja kwa kodi za nyumba pamoja namwisho wa kufukuzwa ndani ya nyumba bila sababu, kukabiliana na janga la uwezo wakumudu nyumba nchini Australia. Hali hiyo imejiri wakati ripoti mpya, iwezo wakukodi nyumba kila mwaka, imepata kuwa kodi zinaongezeka haraka kuliko mapato ya nyumba kote nchini, hali ambayo imewaacha watu wengi wakihangaika kupata sehemu yakuishi au, kuendelea kumudu wanako ishi.

Jamii katika jimbo la Kusini Australia zimeonywa zijiandae kwa dharura yamafuriko, wakati maji kutoka maeneo ya majimbo ya mashariki ya New South Wales na Victoria.

Rais wa Rwanda Paul Kagame ameelezea matumaini yake kuwa mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo unaweza kutatuliwa ikiwa michakato inayohusika itafikia sababu kuu ya mzozo huo. Hata hivyokundi la waasi la M23 siku ya Ijumaa lilikaidi wito wa kusitishwa kwa mapigano, likitaja mashambulizi ya mara kwa mara kutoka kwa jeshi la Congo, FARDC, lakini wakaomba kukutana na mpatanishi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Uhuru Kenyatta na Rais wa Angola Joao Lorenco, kutetea kesi yao.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service