Mweka hazina wa taifa Josh Frydenberg asema serikali haita unga mkono pendekezo la mageuzi kutoka upinzani, kwa mfumo wa JobKeeper akisisitiza kuwa mapendekezo hayo yanaweza gharimu ajira.
Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania jana Jumamosi, kilizindua rasmi kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu 2020, katika uwanja wa Jamhuri Dodoma, ambapo wasanii zaidi ya 100 walishiriki kutumbuiza katika uzinduzi huo.
Jeshi nchini Israeli limesema leo kuwa limeshambulia ngome za kundi la Hamas katika ukanda wa Gaza huku mashambulizi ya Palestina yanayoongezeka yakiendelea licha ya juhudi za amani za kimataifa.
Share





