Taarifa ya habari 30 Agosti 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Mweka hazina wa taifa Josh Frydenberg asema serikali haita unga mkono pendekezo la mageuzi kutoka upinzani, kwa mfumo wa JobKeeper akisisitiza kuwa mapendekezo hayo yanaweza gharimu ajira.


Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania jana Jumamosi, kilizindua rasmi kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu 2020, katika uwanja wa Jamhuri Dodoma, ambapo wasanii zaidi ya 100 walishiriki kutumbuiza katika uzinduzi huo.

Jeshi nchini Israeli limesema leo kuwa limeshambulia ngome za kundi la Hamas katika ukanda wa Gaza huku mashambulizi ya Palestina yanayoongezeka yakiendelea licha ya juhudi za amani za kimataifa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service