Taarifa ya Habari 30 Aprili 2023

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Kutakuwa maboresho mhimu katika bajeti ya Mei, waziri wa fedha aeleza taifa.


Waziri wa Ulinzi Richard Marles amesema wazalishaji wa makombora ya masafa marefu nchini ni kipaumbele cha Australia. Tathmini ya mapitio ya mkakati wa ulinzi ilitolewa Jumatatu iliyo pita 24 Aprili, ambako ilipata jeshi la ulinzi la Australia halifai kwa kusudi na ilitaka kukuza uwezo wa usahihi wa mashambulizi kwa masafa marefu.

Wazazi wenye hofu ya wanafunzi wa wakenya walioko katika chuo kikuu nchini Sudan wamekuwa wakifika kwenye ofisi ya kaunti ya Wajir nchini Kenya wakati wakisubiri kwa habari kuhusu watoto wao waliokwama katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum.

Jumla ya watahiniwa 106,955 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kidato cha sita utakaofanyika kuanzia Mei 2 hadi 22 mwaka huu. Mtihani huo utaenda sambamba na mtihani wa ualimu utakaofanyika kati ya Mei 2 hadi 16 mwaka huu ambapo jumla ya watahiniwa 8,906 wamesajiliwa.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya Habari 30 Aprili 2023 | SBS Swahili