Taarifa ya Habari 31 Oktoba 2021

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Kiongozi wa chama cha Nationals ambaye pia ndiye kaimu waziru mkuu Barnaby Joyce, ameweka wazi baadhi ya taarifa ambayo chama chake kili afiki na chama cha Liberal, kuafiki kupunguza uzalishaji wa hefa chafu kwa kiwango cha sufuri kufikia mwaka wa 2050, ambayo ilijumuisha uwekezaji kwa kanda kusaidia katika mageuzi hayo.


Idadi ya wagonjwa wapya wanao hudumiwa katika taasisi yautaalam mkubwa duniani ya Melanoma nchini Australia, imepungua kwa muda wa miaka 12, nakusababisha hofu miongoni mwa wataalam kuwa vizuizi vya COVID vime wazuia wagonjwa kufanya vipimo vya ngozi. Kuna wasiwasi kupungua kwa 20% ya wagonjwa wapya katika miaka mbili iliyopita, kuna weza shuhudia ongezeko kwa maisha yanayo potezwa kwa sababu ya ugonjwa huo katika miaka ijayo.

DR Congo iko chini ya shinikizo la kuimarisha usimamizi wa misitu na kupunguza kasi ya ukataji miti ambayo imeongezeka maradufu katika muongo uliopita, kulingana na takwimu za Umoja wa Mataifa Waziri wa mazingira wa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, Eve Bazaiba, alisema Alhamis kwamba nchi hiyo inakusudia kupiga marufuku usafirishaji wote wa magogo na kutekeleza hatua zingine ili kupunguza tishio kwa msitu wake wa kanda ya joto unaovuta hewa ya Carbon ikiwa ni sehemu kubwa dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service